☰
Zaburi Zaburi 117
◀
▶
Zaburi 117
Sifa za Mwenyezi Mungu
1
Msifuni Mwenyezi Mungu, enyi mataifa yote;
mtukuzeni yeye, enyi watu wote.
2
Kwa kuwa upendo wake kwetu ni mkuu,
uaminifu wa Mwenyezi Mungu unadumu milele.
Msifuni Mwenyezi Mungu.
*
*
Zaburi 117:2
kwa Kiebrania ni
Hallelu Yah.