^
Ayubu
Sehemu ya kwanza: Habari za awali
Ayubu na jamaa yake
Jaribu la kwanza la Ayubu
Jaribu la pili la Ayubu
Rafiki watatu wa Ayubu
Sehemu ya pili: Mazungumzo ya Ayubu na rafiki zake watatu
Hotuba ya kwanza ya Ayubu
Ayubu anailaani siku aliyozaliwa
Elifazi anasema: Ayubu ametenda dhambi
Elifazi anaendelea
Hotuba ya pili ya Ayubu
Ayubu anajibu: Malalamiko yangu ni ya haki
Ayubu anaendelea
Ayubu amlilia Mwenyezi Mungu
Bildadi anasema: Yampasa Ayubu atubu
Hotuba ya tatu ya Ayubu
Ayubu anajibu: Hakuna Mpatanishi
Ayubu anaendelea
Sofari anasema: Hatia ya Ayubu inastahili adhabu
Hotuba ya nne ya Ayubu
Ayubu anajibu: Mimi ni mtu wa kuchekwa
Ayubu anaendelea
Ayubu anaendelea
Elifazi anasema: Ayubu anadhoofisha imani
Hotuba ya tano ya Ayubu
Ayubu anajibu: Hakika sina hatia
Ayubu anaomba msaada
Bildadi anasema: Mwenyezi Mungu huwaadhibu waovu
Hotuba ya sita ya Ayubu
Ayubu anajibu: Najua Mkombozi wangu yu hai
Sofari anasema: Uovu hupokea malipo ya haki
Hotuba ya saba ya Ayubu
Ayubu anajibu: Waovu mara nyingi huenda bila kuadhibiwa
Elifazi anasema: Uovu wa Ayubu ni mkubwa
Hotuba ya nane ya Ayubu
Ayubu anajibu: Nalalamika kwa uchungu
Ayubu anaendelea
Bildadi anasema: Mwanadamu awezaje kuwa mwadilifu mbele za Mwenyezi Mungu?
Hotuba ya tisa ya Ayubu
Ayubu anajibu: Utukufu wa Mwenyezi Mungu hauchunguziki
Neno la mwisho la Ayubu kwa rafiki zake
Mapumziko: Hekima inakopatikana
Ayubu amaliza utetezi wake
Ayubu anaendelea
Ayubu anakamilisha maneno yake
Sehemu ya tatu: Mazungumzo ya Elihu
Elihu awakemea rafiki zake Ayubu
Elihu amkemea Ayubu
Elihu atangaza haki ya Mwenyezi Mungu
Elihu alaumu mtu kujiona kuwa mwenye haki
Elihu atukuza wema wa Mwenyezi Mungu
Elihu atukuza maajabu ya Mwenyezi Mungu
Sehemu ya nne: Mwenyezi Mungu anazungumza
Mwenyezi Mungu amjibu Ayubu
Mwenyezi Mungu anaendelea kumjibu Ayubu
Mwenyezi Mungu anamuuliza Ayubu maswali
Mwenyezi Mungu anaendelea kumuuliza Ayubu maswali
Sehemu ya tano
Ayubu anamjibu Mwenyezi Mungu
Mwisho: Rafiki zake Ayubu wanafedheheshwa