^
Zaburi
KITABU CHA KWANZA
Furaha Ya Kweli
Huzuni Ya Waovu
Mfalme Aliyechaguliwa Na Mungu
Ushindi Wa Mfalme
Sala Ya Asubuhi Ya Kuomba Msaada
Zaburi ya Daudi. Alipomkimbia mwanawe Absalomu.
Sala Ya Jioni Ya Kuomba Msaada
Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za muziki. Zaburi ya Daudi.
Sala Kwa Ajili Ya Ulinzi Wakati Wa Hatari
Kwa mwimbishaji. Kwa filimbi. Zaburi ya Daudi.
Sala Kwa Ajili Ya Msaada Wakati Wa Taabu
Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za muziki. Mtindo wa sheminithi.6:0 Sheminithi ni mtajo mmojawapo katika lugha ya uimbaji. Zaburi ya Daudi.
Sala Ya Mtu Anayedhulumiwa
Ombolezo la Daudi kwa Bwana kwa sababu ya Kushi, Mbenyamini.
Utukufu Wa Mungu Na Heshima Ya Mwanadamu
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa gitithi. Zaburi ya Daudi.
Shukrani Kwa Mungu Kwa Ajili Ya Haki Yake
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa muth-labeni.9:0 Muth-labeni ni mtajo mmojawapo katika lugha za muziki. Zaburi ya Daudi.
Sala Kwa Ajili Ya Haki
Kumtumaini Bwana
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.
Kuomba Msaada
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa sheminithi. Zaburi ya Daudi.
Sala Ya Kuomba Msaada
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.
Uovu Wa Wanadamu
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.
Kitu Mungu Anachotaka
Zaburi ya Daudi.
Sala Ya Matumaini
Utenzi wa Daudi.
Sala Ya Mtu Asiye Na Hatia
Sala ya Daudi.
Wimbo Wa Daudi Wa Ushindi
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi mtumishi wa Bwana aliyomwimbia Bwana wakati Bwana alipomwokoa mikononi mwa adui zake wote, na pia mkononi mwa Sauli. Alisema hivi:
Utukufu Wa Mungu Katika Uumbaji
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.
Maombi Kwa Ajili Ya Ushindi
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.
Shukrani Kwa Mungu Kwa Ajili Ya Ushindi
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.
Kilio Cha Uchungu Na Wimbo Wa Sifa
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa utenzi wa “Kulungu wa Alfajiri.” Zaburi ya Daudi.
Bwana Mchungaji Wetu
Zaburi ya Daudi.
Mfalme Mkuu
Zaburi ya Daudi.
Kumwomba Mungu Uongozi Na Ulinzi
Zaburi ya Daudi.
Maombi Ya Mtu Mwema
Zaburi ya Daudi.
Sala Ya Kusifu
Zaburi ya Daudi.
Kuomba Msaada
Zaburi ya Daudi.
Sauti Ya Bwana Wakati Wa Dhoruba
Zaburi ya Daudi.
Maombi Ya Shukrani
Utenzi wa kuweka wakfu hekalu. Zaburi ya Daudi.
Maombi Na Sifa Kwa Kuokolewa Kutoka Kwa Adui
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.
Furaha Ya Msamaha
Zaburi ya Daudi. Funzo.
Ukuu Na Wema Wa Mungu
Sifa Na Wema Wa Mungu
Zaburi ya Daudi, alipojifanya mwendawazimu mbele ya Abimeleki, ambaye alimfukuza, naye akaondoka.
Kuomba Msaada: Kuokolewa Kutokana Na Maadui
Zaburi ya Daudi.
Uovu Wa Mwanadamu
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi mtumishi wa Bwana.
Mwisho Wa Mwovu Na Urithi Wa Mwenye Haki
Zaburi ya Daudi.
Maombi Ya Mtu Anayeteseka
Zaburi ya Daudi. Maombi.
Maombi Ya Mtu Anayeteseka
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa Yeduthuni. Zaburi ya Daudi.
Wimbo Wa Sifa
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.
Maombi Ya Mtu Mgonjwa
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.
KITABU CHA PILI
Maombi Ya Mtu Aliye Uhamishoni
Kwa mwimbishaji. Utenzi wa wana wa Kora.
Maombi Ya Mtu Aliyeko Uhamishoni Yanaendelea
Kuomba Ulinzi Wa Mungu
Kwa mwimbishaji. Utenzi wa wana wa Kora.
Wimbo Wa Arusi Ya Kifalme
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa utenzi wa “Yungiyungi.” Utenzi wa wana wa Kora. Wimbo wa arusi.
Mungu Yuko Pamoja Nasi
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya wana wa Kora. Mtindo wa alamothi.
Mtawala Mwenye Enzi Yote
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya wana wa Kora.
Sayuni, Mji Wa Mungu
Wimbo. Zaburi ya wana wa Kora.
Upumbavu Wa Kutegemea Mali
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya wana wa Kora.
Ibada Ya Kweli
Zaburi ya Asafu.
Kuomba Msamaha
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Baada ya kukemewa na nabii Nathani kwa kuzini na Bathsheba.
Hukumu Ya Mungu
Kwa mwimbishaji. Utenzi wa Daudi. Baada ya Doegi, Mwedomu kumwendea Sauli na kumjulisha kuwa: “Daudi amekwenda nyumbani kwa Ahimeleki.”
Neema Ya Mungu
Uovu Wa Wanadamu
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa mahalathi. Utenzi wa Daudi.
Kuomba Ulinzi Wa Mungu Kutokana Na Adui
Kwa mwimbishaji. Na ala za nyuzi za uimbaji. Utenzi wa Daudi. Wakati Wazifu walimwendea Sauli na kumjulisha, “Je, Daudi hajifichi miongoni mwetu?”
Maombi Ya Mtu Aliyesalitiwa Na Rafiki
Kwa mwimbishaji. Na ala za uimbaji. Utenzi wa Daudi.
Kumtumaini Mungu
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Njiwa mkimya wa mbali.” Utenzi wa Daudi. Baada ya kukamatwa na Wafilisti huko Gathi.
Kuomba Msaada
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Usiharibu!” Utenzi wa Daudi. Baada ya kumponyoka Sauli pangoni.
Mungu Kuwaadhibu Waovu
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Usiharibu!” Utenzi wa Daudi.
Kuomba Ulinzi Wa Mungu
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Usiharibu!” Utenzi wa Daudi. Wakati Sauli alipotuma wapelelezi nyumbani mwa Daudi ili wamuue.
Kuomba Kuokolewa
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Shushani Eduthi.” Utenzi wa Daudi wa kufundisha. Wakati alipopigana na Waaramu kutoka Aramu-Naharaimu na Aramu-Soba, naye Yoabu akarudi nyuma na kuwaua Waedomu 12,000 katika Bonde la Chumvi.
Kuomba Ulinzi
Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za uimbaji. Zaburi ya Daudi.
Mungu Kimbilio La Pekee
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa Yeduthuni. Zaburi ya Daudi.
Shauku Kwa Ajili Ya Uwepo Wa Mungu
Zaburi ya Daudi. Wakati alipokuwa katika Jangwa la Yuda.
Kuomba Ulinzi Dhidi Ya Maadui
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.
Kusifu Na Kushukuru
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Wimbo.
Kusifu Mungu Kwa Ajili Ya Wema Wake
Kwa mwimbishaji. Wimbo. Zaburi.
Mataifa Yahimizwa Kumsifu Mungu
Kwa mwimbishaji. Na ala za nyuzi za muziki. Zaburi. Wimbo.
Wimbo Wa Taifa Wa Shangwe Kwa Ushindi
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Wimbo.
Kilio Cha Kuomba Msaada Wakati Wa Dhiki
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Yungiyungi.” Zaburi ya Daudi.
Kuomba Msaada
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Maombi.
Kuomba Ulinzi Na Msaada Siku Zote Za Maisha
Maombi Kwa Ajili Ya Mfalme
Zaburi ya Solomoni.
KITABU CHA TATU
Haki Ya Mungu
Zaburi ya Asafu.
Maombi Kwa Ajili Ya Taifa Kuokolewa
Utenzi wa Asafu.
Mungu Ni Mwamuzi
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Usiharibu!” Zaburi ya Asafu. Wimbo.
Mungu Wa Israeli Ni Mhukumu Wa Dunia Yote
Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za muziki. Zaburi ya Asafu. Wimbo.
Matendo Makuu Ya Mungu Yanakumbukwa
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa Yeduthuni. Zaburi ya Asafu.
Mungu Na Watu Wake
Utenzi wa Asafu.
Maombi Kwa Ajili Ya Wokovu Wa Taifa
Zaburi ya Asafu.
Maombi Kwa Ajili Ya Kuponywa Kwa Taifa
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Yungiyungi za Agano.” Zaburi ya Asafu.
Wimbo Wa Sikukuu
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa gitithi. Zaburi ya Asafu.
Maombi Kwa Ajili Ya Kutaka Haki
Zaburi ya Asafu.
Maombi Kwa Ajili Ya Kushindwa Kwa Adui Wa Israeli
Wimbo. Zaburi ya Asafu.
Kuionea Shauku Nyumba Ya Mungu
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa gitithi. Zaburi ya wana wa Kora.
Maombi Kwa Ajili Ya Ustawi Wa Taifa
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya wana wa Kora.
Kuomba Msaada
Maombi ya Daudi.
Sifa Za Yerusalemu
Zaburi ya wana wa Kora. Wimbo.
Kilio Kwa Ajili Ya Kuomba Msaada
Wimbo. Zaburi ya wana wa Kora. Kwa mwimbishaji. Mtindo wa mahalathi leanothi. Utenzi wa Hemani Mwezrahi.
Wimbo Wakati Wa Taabu Ya Kitaifa
Utenzi wa Ethani Mwezrahi.
KITABU CHA NNE
Umilele Wa Mungu Na Udhaifu Wa Mwanadamu
Maombi ya Mose, mtu wa Mungu.
Mungu Mlinzi Wetu
Wimbo Wa Kumsifu Mungu
Zaburi. Wimbo wa siku ya Sabato.
Mungu Mfalme
Mungu Mlipiza Kisasi Kwa Ajili Ya Wenye Haki
Wimbo Wa Kumsifu Mungu
Mungu Mfalme Mkuu
Mungu Mtawala Mkuu
Mungu Mtawala Wa Dunia
Zaburi.
Mungu Mfalme Mkuu
Dunia Yote Yaitwa Kumsifu Mungu
Zaburi ya shukrani.
Ahadi Ya Kuishi Kwa Uadilifu Na Kwa Haki
Zaburi ya Daudi.
Maombi Ya Mtu Mwenye Taabu
Maombi ya mtu aliyechoka. Anapoteseka na kumimina malalamiko yake kwa Bwana.
Upendo Wa Mungu
Zaburi ya Daudi.
Kumsifu Muumba
Uaminifu Wa Mungu Kwa Israeli
Wema Wa Bwana Kwa Watu Wake
KITABU CHA TANO
Kumsifu Mungu Kwa Wema Wake
Kuomba Msaada Dhidi Ya Adui
Wimbo. Zaburi ya Daudi.
Lalamiko La Mtu Aliyeko Kwenye Shida
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.
Bwana Na Mfalme Wake Mteule
Zaburi ya Daudi.
Sifa Za Bwana Kwa Matendo Ya Ajabu
Baraka Za Mwenye Haki
Kumsifu Bwana Kwa Wema Wake
Maajabu Ya Mungu Wakati Israeli Walipotoka Misri
Mungu Mmoja Wa Kweli
Shukrani Kwa Kuokolewa Kutoka Mauti
Sifa Za Bwana
Shukrani Kwa Ajili Ya Ushindi
Sifa Za Sheria Ya Bwana
Kujifunza Sheria Ya Bwana
Kutii Sheria Ya Bwana
Furaha Katika Sheria Ya Bwana
Kuamua Kuitii Sheria Ya Bwana
Maombi Ili Kupata Ufahamu Wa Sheria
Kuitumainia Sheria Ya Bwana
Matumaini Katika Sheria Ya Bwana
Kujitolea Katika Sheria Ya Bwana
Thamani Ya Sheria Ya Bwana
Haki Ya Sheria Ya Bwana
Maombi Kwa Ajili Ya Kuokolewa
Imani Katika Sheria Ya Bwana
Kuipenda Sheria Ya Bwana
Nuru Kutoka Kwenye Sheria Ya Bwana
Usalama Ndani Ya Sheria Ya Bwana
Kuitii Sheria Ya Bwana
Shauku Ya Kuitii Sheria Ya Bwana
Haki Ya Sheria Ya Bwana
Maombi Kwa Ajili Ya Kuokolewa
Maombi Kwa Ajili Ya Msaada
Kujiweka Wakfu Kwa Sheria Ya Bwana
Kuomba Msaada
Kuomba Msaada
Wimbo wa kwenda juu.
Bwana Mlinzi Wetu
Wimbo wa kwenda juu.
Sifa Kwa Yerusalemu
Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi.
Kuomba Rehema
Wimbo wa kwenda juu.
Shukrani Kwa Ukombozi Wa Israeli
Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi.
Usalama Wa Watu Wa Mungu
Wimbo wa kwenda juu.
Kurejezwa Kutoka Utumwani
Wimbo wa kwenda juu.
Bila Mungu, Kazi Ya Mwanadamu Haifai
Wimbo wa kwenda juu. Wa Solomoni.
Thawabu Ya Kumtii Bwana
Wimbo wa kwenda juu.
Maombi Dhidi Ya Adui Za Israeli
Wimbo wa kwenda juu.
Kuomba Msaada
Wimbo wa kwenda juu.
Kumtegemea Mungu Kwa Unyenyekevu
Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi.
Maskani Ya Mungu Ya Milele Katika Sayuni
Wimbo wa kwenda juu.
Sifa Za Pendo La Undugu
Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi.
Wito Wa Kumsifu Mungu
Wimbo wa kwenda juu.
Wimbo Wa Sifa Kwa Mungu
Wimbo Wa Kumshukuru Mungu
Maombolezo Ya Israeli Uhamishoni
Maombi Ya Shukrani
Zaburi ya Daudi.
Mungu Asiyeweza Kukwepwa
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.
Kuomba Ulinzi Wa Mungu
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.
Maombi Ya Kuhifadhiwa Dhidi Ya Uovu
Zaburi ya Daudi.
Maombi Ya Kuokolewa Dhidi Ya Watesi
Utenzi wa Daudi. Alipokuwa pangoni. Maombi.
Maombi Ya Kuokolewa Dhidi Ya Adui
Zaburi ya Daudi.
Mfalme Amshukuru Mungu Kwa Ushindi
Zaburi ya Daudi.
Wimbo Wa Kusifu Ukuu Na Wema Wa Mungu
Wimbo wa Sifa. Wa Daudi.
Kumsifu Mungu Mwokozi
Kumsifu Mungu Mwenye Nguvu Zote
Mwito Kwa Ulimwengu Kumsifu Mungu
Wimbo Wa Kumsifu Mungu Kwa Wema Wake
Msifuni Bwana Kwa Ukuu Wake