^
Zaburi
Kitabu cha Kwanza
Furaha ya kweli
Huzuni ya waovu
Mfalme aliyechaguliwa na Mwenyezi Mungu
Ushindi wa mfalme
Sala ya asubuhi ya kuomba msaada
Zaburi ya Daudi. Alipomkimbia mwanawe Absalomu.
Sala ya jioni ya kuomba msaada
Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za muziki. Zaburi ya Daudi.
Sala kwa ajili ya ulinzi wakati wa hatari
Kwa mwimbishaji. Kwa filimbi. Zaburi ya Daudi.
Sala ya kuomba msaada wakati wa taabu
Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za muziki. Mtindo wa sheminithi.6:0 Sheminithi ni mtajo mmojawapo katika lugha ya uimbaji. Zaburi ya Daudi.
Sala ya mtu anayedhulumiwa
Ombolezo la Daudi kwa Mwenyezi Mungu kwa sababu ya Kushi, Mbenyamini.
Utukufu wa Mwenyezi Mungu na heshima ya mwanadamu
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa gitithi. Zaburi ya Daudi.
Shukrani kwa Mwenyezi Mungu kwa ajili ya haki yake
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa muth-labeni.9:0 Muth-labeni ni mtajo mmojawapo katika lugha za muziki. Zaburi ya Daudi.
Sala kwa ajili ya haki
Kumtumaini Mwenyezi Mungu
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.
Kuomba msaada
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa sheminithi. Zaburi ya Daudi.
Sala ya kuomba msaada
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.
Uovu wa wanadamu
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.
Kitu Mwenyezi Mungu anachotaka
Zaburi ya Daudi.
Sala ya matumaini
Utenzi wa Daudi.
Sala ya mtu asiye na hatia
Sala ya Daudi.
Wimbo wa Daudi wa ushindi
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi mtumishi wa Mwenyezi Mungu aliyomwimbia Mwenyezi Mungu alipomwokoa mikononi mwa adui zake wote, na pia mkononi mwa Sauli. Alisema hivi:
Utukufu wa Mwenyezi Mungu katika uumbaji
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.
Maombi kwa ajili ya ushindi
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.
Shukrani kwa Mwenyezi Mungu kwa ajili ya ushindi
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.
Kilio cha uchungu na wimbo wa sifa
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa utenzi wa “Kulungu wa Alfajiri”. Zaburi ya Daudi.
Mwenyezi Mungu mchungaji wetu
Zaburi ya Daudi.
Mfalme mkuu
Zaburi ya Daudi.
Kumwomba Mwenyezi Mungu uongozi na ulinzi
Zaburi ya Daudi.
Maombi ya mtu mwema
Zaburi ya Daudi.
Sala ya kusifu
Zaburi ya Daudi.
Kuomba msaada
Zaburi ya Daudi.
Sauti ya Mwenyezi Mungu wakati wa dhoruba
Zaburi ya Daudi.
Maombi ya shukrani
Utenzi wa kuweka wakfu hekalu. Zaburi ya Daudi.
Maombi na sifa kwa kuokolewa kutoka kwa adui
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.
Furaha ya msamaha
Zaburi ya Daudi. Funzo.
Ukuu na wema wa Mwenyezi Mungu
Sifa na wema wa Mwenyezi Mungu
Zaburi ya Daudi, alipojifanya mwendawazimu mbele ya Abimeleki, ambaye alimfukuza, naye akaondoka.
Kuomba msaada: Kuokolewa kutokana na adui
Zaburi ya Daudi.
Uovu wa mwanadamu
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi mtumishi wa Mwenyezi Mungu.
Mwisho wa mwovu na urithi wa mwenye haki
Zaburi ya Daudi.
Maombi ya mtu anayeteseka
Zaburi ya Daudi. Maombi.
Maombi ya mtu mwenye uchungu
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa Yeduthuni. Zaburi ya Daudi.
Wimbo wa sifa
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.
Maombi ya mtu mgonjwa
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.
Kitabu cha Pili
Maombi ya mtu aliye uhamishoni
Kwa mwimbishaji. Utenzi wa wana wa Kora.
Maombi ya mtu aliye uhamishoni yanaendelea
Kuomba ulinzi wa Mwenyezi Mungu
Kwa mwimbishaji. Utenzi wa wana wa Kora.
Wimbo wa arusi ya kifalme
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa utenzi wa “Yungiyungi”. Utenzi wa wana wa Kora. Wimbo wa arusi.
Mwenyezi Mungu yuko pamoja nasi
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya wana wa Kora. Mtindo wa alamothi.
Mtawala mwenye enzi yote
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya wana wa Kora.
Sayuni, mji wa Mwenyezi Mungu
Wimbo. Zaburi ya wana wa Kora.
Upumbavu wa kutegemea mali
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya wana wa Kora.
Ibada ya kweli
Zaburi ya Asafu.
Kuomba msamaha
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Baada ya kukemewa na nabii Nathani kwa kuzini na Bathsheba.
Hukumu ya Mwenyezi Mungu
Kwa mwimbishaji. Utenzi wa Daudi. Baada ya Doegi, Mwedomu kumwendea Sauli na kumjulisha kuwa: “Daudi ameenda nyumbani mwa Ahimeleki.”
Neema ya Mwenyezi Mungu
Uovu wa wanadamu
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa mahalathi. Utenzi wa Daudi.
Kuomba ulinzi wa Mwenyezi Mungu kutokana na adui
Kwa mwimbishaji. Na ala za nyuzi za uimbaji. Utenzi wa Daudi. Wakati Wazifu walimwendea Sauli na kumjulisha, “Je, Daudi hajifichi miongoni mwetu?”
Maombi ya mtu aliyesalitiwa na rafiki
Kwa mwimbishaji. Na ala za uimbaji. Utenzi wa Daudi.
Kumtumaini Mwenyezi Mungu
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Njiwa mkimya wa mbali”. Utenzi wa Daudi. Baada ya kukamatwa na Wafilisti huko Gathi.
Kuomba msaada
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Usiharibu”. Utenzi wa Daudi. Baada ya kumponyoka Sauli pangoni.
Mwenyezi Mungu kuwaadhibu waovu
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Usiharibu”. Utenzi wa Daudi.
Kuomba ulinzi wa Mwenyezi Mungu
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Usiharibu”. Utenzi wa Daudi. Sauli alipotuma wapelelezi nyumbani mwa Daudi ili wamuue.
Kuomba kuokolewa
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Shushani Eduthi”. Utenzi wa Daudi wa kufundisha. Alipopigana na Waaramu kutoka Aram-Naharaimu na Aram-Soba, na Yoabu aliporudi na kuwaua Waedomu elfu kumi na mbili katika Bonde la Chumvi.
Kuomba ulinzi
Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za uimbaji. Zaburi ya Daudi.
Mwenyezi Mungu kimbilio la pekee
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa Yeduthuni. Zaburi ya Daudi.
Shauku kwa ajili ya uwepo wa Mwenyezi Mungu
Zaburi ya Daudi. Alipokuwa katika Jangwa la Yuda.
Kuomba ulinzi dhidi ya adui
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.
Kusifu na kushukuru
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Wimbo.
Kusifu Mwenyezi Mungu kwa ajili ya wema wake
Kwa mwimbishaji. Wimbo. Zaburi.
Mataifa wahimizwa kumsifu Mwenyezi Mungu
Kwa mwimbishaji. Na ala za nyuzi za muziki. Zaburi. Wimbo.
Wimbo wa taifa wa shangwe kwa ushindi
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Wimbo.
Kilio cha kuomba msaada wakati wa dhiki
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Yungiyungi”. Zaburi ya Daudi.
Kuomba msaada
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Maombi.
Kuomba ulinzi na msaada maishani
Maombi kwa ajili ya mfalme
Zaburi ya Sulemani.
Kitabu cha Tatu
Haki ya Mwenyezi Mungu
Zaburi ya Asafu.
Maombi kwa ajili ya taifa
Utenzi wa Asafu.
Mwenyezi Mungu ni mwamuzi
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Usiharibu”. Zaburi ya Asafu. Wimbo.
Mungu wa Israeli ni mhukumu wa dunia yote
Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za muziki. Zaburi ya Asafu. Wimbo.
Matendo makuu ya Mwenyezi Mungu yanakumbukwa
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa Yeduthuni. Zaburi ya Asafu.
Mwenyezi Mungu na watu wake
Utenzi wa Asafu.
Maombi kwa ajili ya wokovu wa taifa
Zaburi ya Asafu.
Maombi kwa ajili ya kuponywa kwa taifa
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Yungiyungi za Agano”. Zaburi ya Asafu.
Wimbo wa sikukuu
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa gitithi. Zaburi ya Asafu.
Maombi kwa ajili ya kutaka haki
Zaburi ya Asafu.
Maombi kwa ajili ya kushindwa kwa adui za Israeli
Wimbo. Zaburi ya Asafu.
Kuionea shauku nyumba ya Mwenyezi Mungu
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa gitithi. Zaburi ya wana wa Kora.
Maombi kwa ajili ya ustawi wa taifa
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya wana wa Kora.
Kuomba msaada
Maombi ya Daudi.
Sifa za Yerusalemu
Zaburi ya wana wa Kora. Wimbo.
Kilio kwa ajili ya kuomba msaada
Wimbo. Zaburi ya wana wa Kora. Kwa mwimbishaji. Mtindo wa mahalathi leanothi. Utenzi wa Hemani Mwezrahi.
Wimbo wakati wa taabu ya kitaifa
Utenzi wa Ethani Mwezrahi.
Kitabu cha Nne
Umilele wa Mwenyezi Mungu na udhaifu wa mwanadamu
Maombi ya Musa, mtu wa Mungu.
Mwenyezi Mungu mlinzi wetu
Wimbo wa kumsifu Mwenyezi Mungu
Zaburi. Wimbo wa siku ya Sabato.
Mwenyezi Mungu ni mkuu
Mwenyezi Mungu, Mlipiza kisasi kwa ajili ya wenye haki
Wimbo wa kumsifu Mwenyezi Mungu
Mwenyezi Mungu Mfalme mkuu
Mwenyezi Mungu Mtawala mkuu
Mwenyezi Mungu Mtawala wa dunia
Zaburi.
Mwenyezi Mungu Mfalme mtakatifu
Dunia yote yaitwa kumsifu Mwenyezi Mungu
Zaburi ya shukrani.
Ahadi ya kuishi kwa uadilifu na kwa haki
Zaburi ya Daudi.
Maombi ya mtu aliyechoka
Maombi ya mtu aliyechoka. Anapoteseka na kumimina malalamiko yake kwa Mwenyezi Mungu.
Upendo wa Mwenyezi Mungu
Zaburi ya Daudi.
Kumsifu Muumba
Uaminifu wa Mwenyezi Mungu kwa Israeli
Wema wa Mwenyezi Mungu kwa watu wake
Kitabu cha Tano
Kumsifu Mwenyezi Mungu kwa wema wake
Kuomba msaada dhidi ya adui
Wimbo. Zaburi ya Daudi.
Lalamiko la mtu aliye kwenye shida
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.
Mwenyezi Mungu na mfalme wake mteule
Zaburi ya Daudi.
Sifa za Mwenyezi Mungu kwa matendo ya ajabu
Baraka za mwenye haki
Kumsifu Mwenyezi Mungu kwa wema wake
Maajabu ya Mwenyezi Mungu wakati Israeli walitoka Misri
Mwenyezi Mungu Mmoja wa kweli
Shukrani kwa kuokolewa kutoka mauti
Sifa za Mwenyezi Mungu
Shukrani kwa ajili ya ushindi
Sifa za Torati ya Mwenyezi Mungu
Kujifunza Torati ya Mwenyezi Mungu
Kutii Torati ya Mwenyezi Mungu
Furaha katika Torati ya Mwenyezi Mungu
Kuamua kuitii Torati ya Mwenyezi Mungu
Maombi ili kupata ufahamu wa Torati
Kuitumainia Torati ya Mwenyezi Mungu
Matumaini katika Torati ya Mwenyezi Mungu
Kujitolea katika Torati ya Mwenyezi Mungu
Thamani ya Torati ya Mwenyezi Mungu
Haki ya Torati ya Mwenyezi Mungu
Maombi kwa ajili ya kuokolewa
Imani katika Torati ya Mwenyezi Mungu
Kuipenda Torati ya Mwenyezi Mungu
Nuru katika Torati ya Mwenyezi Mungu
Usalama ndani ya Torati ya Mwenyezi Mungu
Busara ya kuitii Torati ya Mwenyezi Mungu
Shauku ya kuitii Torati ya Mwenyezi Mungu
Haki ya Torati ya Mwenyezi Mungu
Maombi kwa ajili ya kuokolewa
Maombi kwa ajili ya msaada
Kujiweka wakfu kwa Torati ya Mwenyezi Mungu
Furaha katika Torati ya Mwenyezi Mungu
Kuomba msaada dhidi ya wadanganyifu
Wimbo wa kwenda juu.
Mwenyezi Mungu mlinzi wetu
Wimbo wa kwenda juu.
Sifa kwa Yerusalemu
Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi.
Kuomba rehema
Wimbo wa kwenda juu.
Shukrani kwa ukombozi wa Israeli
Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi.
Usalama wa watu wa Mwenyezi Mungu
Wimbo wa kwenda juu.
Kurejeshwa kutoka uhamisho
Wimbo wa kwenda juu.
Bila Mwenyezi Mungu, kazi ya mwanadamu haifai
Wimbo wa kwenda juu. Wa Sulemani.
Thawabu ya kumtii Mwenyezi Mungu
Wimbo wa kwenda juu.
Maombi dhidi ya adui za Israeli
Wimbo wa kwenda juu.
Kumngojea Mwenyezi Mungu
Wimbo wa kwenda juu.
Kumtegemea Mwenyezi Mungu kwa unyenyekevu
Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi.
Maskani ya Mungu ya milele huko Sayuni
Wimbo wa kwenda juu.
Sifa za pendo la undugu
Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi.
Wito wa kumsifu Mwenyezi Mungu
Wimbo wa kwenda juu.
Wimbo wa sifa kwa Mwenyezi Mungu
Wimbo wa kumshukuru Mwenyezi Mungu
Maombolezo ya Israeli uhamishoni
Maombi ya shukrani
Zaburi ya Daudi.
Mwenyezi Mungu asiyeweza kukwepwa
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.
Kuomba ulinzi wa Mwenyezi Mungu
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.
Maombi ya kuhifadhiwa dhidi ya uovu
Zaburi ya Daudi.
Maombi ya kuokolewa dhidi ya watesi
Utenzi wa Daudi. Alipokuwa pangoni. Maombi.
Maombi ya kuokolewa dhidi ya adui
Zaburi ya Daudi.
Mfalme amshukuru Mwenyezi Mungu kwa ushindi
Zaburi ya Daudi.
Wimbo wa kusifu ukuu na wema wa Mwenyezi Mungu
Wimbo wa sifa. Wa Daudi.
Kumsifu Mwenyezi Mungu mwokozi
Kumsifu Mwenyezi Mungu
Mwito kwa ulimwengu kumsifu Mwenyezi Mungu
Wimbo wa kumsifu Mwenyezi Mungu kwa wema wake
Msifuni Mwenyezi Mungu kwa ukuu wake